Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kitunda, Dar Es Salaam







NYUMBA YA VYUMBA VITATU (3) TSHS.65 MILIONI, KITUNDA MACHIMBO.
Hapa ni jirani na KWAMPEMBA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.