Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kitunda, Dar Es Salaam







NYUMBA NZURI MPYA, VYUMBA VITATU(3) TSHS.47 MILIONI, KITUNDA KIVULE MISITU.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,
Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ipo ndani ya Fensi yote.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mskvl
Ukihitaji kukagua taarifa mapema.