Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam







NYUMBA MPYA, VYUMBA 3, TSHS.30 MILIONI, NJIAPANDA Ya KIVULE MSONGOLA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Umeme upo.
Daladala moja hadi Mjini.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.