Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA 2 (VYUMBA 6) NA FREMU 2,TSHS.90 MILIONI, KIVULE FREMU KUMI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 580.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hizi nyumba zipo ndani ya Kiwanja kimoja kizuri,
Na ni-ndani ya Fensi.
Eneo ni jirani na Hospitali ya Wilaya
(Maarufu AMANA NDOGO)-KIVULE.
Kila nyumba inajitegemea na ina vyumba 3
( masta 1) Pia Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ni kubwa na ina Paving safi.
Pia, kuna Kisima cha Maji matamu.
Ujenzi wa kisasa na unaovutia.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255<14591548
______________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.