Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.32 MILIOJI, KIVULE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 40p.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.