Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam


๐ก NYUMBA MPYA INAUZWA โ MADALE MIVUMONI ๐ก
๐ Mahali: Madale Mivumoni, Dar es Salaam
๐ Ukubwa wa Kiwanja: 1,000 sqm
๐๏ธ Vyumba 3 vya kulala (1 ni master bedroom)
๐ Bycota
๐ Hati safi
๐ฐ Bei ya Ofa: TSh Milioni 450
๐ Wasiliana na:
#0719657411
โ
๐ FAIDA ZA KUNUNUA ENEO HILI:
โ
Huduma za Maji:
Mradi wa DAWASA unaendelea kupeleka maji safi kwa wakazi wa Mivumoni, Madale, Goba, na Tegeta โ huduma bora za maji zinazopatikana kwa urahisi.
โ
Miundombinu Imara:
Barabara zinaendelea kuboreshwa, huduma za umeme na usafiri wa uhakika zinapatikana.
โ
Huduma za Elimu:
Karibu na shule bora kama Atlas Madale Primary School, inayotoa elimu ya awali na msingi kwa watoto wa eneo hilo.
โ
Mandhari Tulivu na Salama:
Madale Mivumoni ni eneo tulivu, lenye mandhari nzuri na jamii inayokua kwa kasi โ mahali pazuri pa kuishi na kulea familia.
Usikose fursa hii ya kipekee!
Nyumba nzuri katika eneo lenye fursa za sasa na za baadaye. Fanya maamuzi sahihi leo!
๐ Pigia sasa:
dalalimbezibeach_goba_salasala
0715127812