Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Majohe, Dar Es Salaam







NYUMBA-TATU PAMOJA, TSHS.58 MILIONI, MAJOHE-VIWEGE/GONGOLAMBOTO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hizi nyumba kwa jumla zina Vyumba vya kulala sita(6)
Nyumba kubwa Ina vyumba 3(Masta 1)
Sebule,Jiko na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ya pili Ina vyumba viwili(2)
Sebule,Jiko na Choo kimoja cha Familia.
Nyumbabya Tatu ina Chumba kimoja(1)
Choo na Jiko lake.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+25714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.