Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Makongo, Dar Es Salaam






Nyumba Nzuri Inauzwa
Mahali: Makongo Juu
Bei: Milioni 120 (Maongezi)
Dk 5 Kutoka Barabara Ya Lami, Barabara Nzuri
☑️Sqm300
☑️Vyumba 3, Kimoja Ni Master, Sebule, Dining Jiko Na Vyoo
☑️Hati Miliki Imenyooka
☑️Full Ac Sebuleni, Store Ya Nje
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz