Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Manzese, Dar Es Salaam


🏡 KIWANJA KINAUZWA – MANZESE BAKHERESA 🏡
Unatafuta eneo bora la uwekezaji Dar es Salaam? Hiki hapa fursa adimu isiyopaswa kukosa! 🔥
🔹 Ukubwa wa kiwanja: SQM 600
🔹 Ndani kuna nyumba yenye:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛋️ Sebule
🍳 Jiko
📍 Location: Manzese Bakheresa
📏 Umbali wa dk 2–3 tu kutoka Morogoro Road
💼 FAIDA ZA ENEO
Eneo linafaa sana kwa:
🏢 Kujenga Apartment za wapangaji
🏫 Hostel
🏨 Guest House / Hotel
🏠 Makazi + uwekezaji wa baadaye
📄 HALI YA NYARAKA
✔️ Document za umiliki zipo kamili
✔️ Reseni ya Makazi na Mali
✔️ Mali ni binafsi (siyo ya mirathi) – uko salama kisheria 💯
💰 Bei: Tsh Milioni 170
🤝 Maongezi yapo kwa mteja serious
📞 Mawasiliano:
☎️ 0745 834 253
☎️ 0615 382 085
📲 Simu au WhatsApp



















