Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa bei milioni 45 ipo mbagala chamazi magengeni. Nyumba ina rooms 3 vyakulala sitting room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo pia, tiliz, madilisha vioo, umeme upo unawaka, maji yapo pia, paving blocks chini zpo na fensi ya parking ipo pia, Ukubwa wa eneo ni Square mita 400. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.


















