Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI MWISHO π‘
Fursa adimu ya kupata nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji! β¨
πΉ Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
ποΈ Sebule kubwa na ya kisasa
π½οΈ Dinning area
π³ Jiko lenye makabati
π¦ Store
π» Public toilet
π Boyβs Quarters yenye vyumba 2
π³ Eneo kubwa lenye Garden nzuri
π Hati ipo tayari
π£οΈ Inafikika kirahisi bila shida
π° Bei: TSh Milioni 160
π€ Udalali: 10%
π§Ύ Service Charge: 30,000/=
π Muhitaji Piga: +255 688 412 890
π Usikose nafasi hii! Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi au kuja kuona nyumba π²β¨




















