Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.36 MILIONI,MSONGOLA STAND.
Nyumba ni mpya,
Ndani ya Fensi na eneo salama.
Gari moja tu hadi kufika Mjjni.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv


















