Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.75 MILIONI, PUGU KONA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ipo jirani na Barabara ya Lami.
Vyumba 3(Masta1 )
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________tp
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.