Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pugu, Dar Es Salaam
NYUMBA YA VYUMBA 3, TSHS.60 MILIONI, PUGU SHULE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.460.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.