Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA INAUZWA – TABATA KINYEREZI MBUYUNI
📍 Dakika 5 tu kwa mguu kutoka lami
🌟 Ipo mtaa mzuri na tulivu sana
✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 3 (kimoja Master)
🛋️ Sebule
🍳 Jiko
📦 Store
🚻 Public toilet
💰 Bei: Milioni 130 (maongezi yapo)
piga: +255 746 433 854


















