Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam
STANDALONE INAPANGISHWA;
💧Location :: GOBA ROAD NJIA PANDA YA MAKABE(KANISANI)
💧Bei :: 350,000Tsh kwa Mwezi
Muundo wa Nyumba;
📍Vyumba viwili (Kimoja Master)
📍Sebule kubwa
📍Choo cha Public
📍Jiko lenye makabati
📍Fence
Wasiliana nasi Kwa Maelezo zaidi kupitia;
0782428327
Call /Whatsapp