Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Madale, Dar Es Salaam


#Repost Dalalimbezibeach_semba
• • • • • •
🏡 STAND ALONE YA KISASA INAPANGISHWA
– MADALE | TSH 1,000,000
Fursa ya kuishi Madale kwenye nyumba safi, yenye nafasi nzuri na mazingira tulivu!
📍 Mahali: Madale
🔹 Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 2 vyote Master bedrooms
❄️ Vyumba vyote vinafungwa A/C
🛋️ Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha
🍳 Jiko lenye makabati
🍽️ Dinning area
🚽 Public toilet kwa wageni
💧 Maji ya uhakika na umeme
🚗 Parking inatosha magari 3
💰 Kodi: TSh 1,000,000 kwa mwezi
🗓 MALIPO: KUANZIA MIEZI 4
📞 WASILIANA NASI:
0718 759287
0685 006223
Dalalimbezibeach_semba
PIA VIWANJA VINAPATIKANA VYA KUNUNUA