Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI KIBANDA CHA MKAA KM1 KUTOKA LAMI
BODA BUKU.
---------
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Slide window
Maji yana flow
Luku yako
Tiles
Gypsum
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
----------
Service charge 15,000/=
Kodi 350,000/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5
------------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#Dalali_big_kimara 🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏