Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam







NYUMBA YA KUPANGA- #UBUNGO_kibo
(A)
📌CHUMBA MASTER
📌SEBULE KUBWA
📌JIKO KUBWA NDANI
Tsh. 170,000 × 6
(B)
📌VYUMBA VIWILI VYA KULALA
📌SEBULE KUBWA
📌CHOO CHA PUBLIC NDANI
📌JIKO LAKO LA NJE
Tsh. 230,000 × 6
Usafiri bajaj 700 kutokea ubungo riverside
Full Tilles,Gypsum & nyavu window.
LUKU Inajitegemea na Maji yapo DAWASCO yanaflow ndani
Nyumba Haina fensi ila gari linafika Hadi nyumbani
Malipo ya mwezi mmoja wa dalali
Service_Charge_20,000/= ya kuonyeshwa na kutafutiwa Nyumba mpaka upate bila kuchajiwa tena ukirudi.
CONTACT
0679 997610
0747997630
Msigwa




















