Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Ukumbi, Iringa
VYUMBA VIWILI SINGLE NA UKUMBI, FUONI MELI TANO PLAN
#unguja #zanzibar
Nyumba ina mpangaji mmoja anatumia chumba Cha Master
Jiko una share
Toilet unatumia peke yako
Ukumbi unatumia peke yako
Fensi✅
Maji ✅
Bei Tsh 150,000/= Laki moja na elfu hamsini (Malipo kuanzia miezi 6)
What's App/Call 0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake
#sisiniwahadhizote