Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KISASA,VYUMBA 2,TSHS.35 MILIONI,KIVULE NJIA NNE.
Unaweza kupitia UKONGA-MOMBASA/MOSHI BAR/BOMBAMBILI.
Jirani na Stand ya Daladala.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 250
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 2 vya kulala.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ipo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv


















