Nyumba/Apartment inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam
NDUGU MTEJA AMKA NA HII NA BEBA PESA KABISA KWENYE SIMU, POCHI AU ATM CARD USIJE UKAJUTIA KUIKOSA NYUMBA HII
APARTMENT ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 12/09/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO
๐ APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO
#CHUMBA MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA SANA
#JIKO KUBWA (OPEN KITCHEN)
#PUBLIC TOILET
#LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#PARKING
BEI NI 250,000/= X 6
๐ซ๐ซ APARTMENT HII IPO KIMARA STOP OVER UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI 8 TUU KWA MIGUU
KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA
๐ฅ ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 12/09/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO KUONA NDANI ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO
SIMU 06 59 33 67 51 WSP 07 86 08 56 37