Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENTS ZINAPANGISHWA ZIPO NNE KWENYE COMPOUND MOJA - MBEZI KIBANDA CHA MKAA
=====
Sebule
Chumba Master bedroom
Jiko kubwa lenye makabati
Bei:200,000/=×6
===
Umbali dakika 15 Kwa miguu Kutoka Morogoro Road
===
Nyumba hizi hazina Fensi Ila usalama ni wa kutosha kabisa Asilimia 100%
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
Contact
0742260844
0657384670