Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara korogwe kilungule
🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi km 1.8 usafili bajaji 500 ukishuka unatembea dakika 3
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Hakuna Jiko
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹fanced inajengwa Car Parking ipo
🔶Kodi Tsh 200, 000/=×6
🔶Malipo ya Dalali Tsh 200, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
0627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊