Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐น๐ฟAPARTMENT #INAPANGISHWA
Kimara Korogwe, Dakika 12-15 Kutembea Kutoka Mwendokasi, Piki Piki ni 1000 Tu
#SIFAZAKE
๐นChumba kimoja master kikubwa
๐นSebule Kubwa
๐นUmeme Sub-Meter Yake
๐นMaji #Inajitegemea na yanaflow ndani
๐นFence amna , Parking Ipo kubwa
๐นmazingira tulivu sana
๐Zipo 3 Hapa, Moja hii ipo wazi
๐ธKodi Tsh 180,000/-x3,4,5,6(Miezi )
๐ธMalipo ya Dalali Tsh 180,000/=
๐ธService Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu๐
0627977383
#. &Whatsapp
#please #Follow us..๐
Karibu Sana Mtejaโบ