Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿APARTMENT #INAPANGISHWA
📍kimara mwisho
🕑Umbali kutoka stand ya mwendo kasi km 2.5 usafili bajaji boda boda
#SIFAZAKE
🔹Chumba kimoja kikubwa
🔹Sebule Kubwa
🔹 Choo cha ndani
🔹Umeme luku inajitegema
🔹Nyumba ipo ndani ya fance no uswahili
🔹Zipo 4 kwenye compound moja na hii moja ipo wazi
📌Hiii inafaulishwa
🔸Kodi Tsh 130,000/-x,3,4,5(Mpaka sita )
🔸Malipo ya Dalali Tsh 130,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
0742260844
0657384670
0788296797
#. &Whatsapp
#please #Follow us..🙏
Karibu Sana Mteja☺