Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿#APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Baruti, Dakika 15 Kutembea Toka Kituo Cha Mwendokasi. boda Boda 1000.
#SIFAZAKE
Hii ina Chumba Kimoja Master na Sebule
Umeme Sub-Meter yake & Maji yanaflow ndani
Iko ndani ya fensi na Parking nikubwa
Kodi Tsh 170,000/=×6(Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 170,000/=
Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
,
#0688573777. 📞&Whatsapp
,
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊