Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍 Kimara Korogwe
🕑 Umbali kutoka stand ya mwendo kasi kwa mguu dakika 7_8 usafili boda boda 1000 tu.
#SIFA ZAKE
🔹Chumba kimoja kikubwa
🔹 Sebule kubwa
🔹 Sehemu ya jiko
🔹 Umeme LUKU – wawili, kila mmoja na submeter yake
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24
🔹 Fenced & packing kubwa
🔹 Ulinzi masaa 24
#GHARAMA
🔶 Kodi: Tsh 220,000/= × 6 (miezi sita)
🔶 Malipo ya Dalali: Tsh 220,000/=
🔶 Service Charge: Tsh 15,000/=
📞 Piga Simu:
0712528820
0685221354
Karibu sana mteja 😊



















