Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍kimara korogwe
🕑Dakika 3-5 kwa mguu kutoka standi ya mwendo kasi
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko la nje
🔹Umeme wana share 2,, Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking ipo
📌 HIi nyumba inakuwa wazi talehe 01/08/2024 Kuona na kufanya nalipo luksa kabisa
🔶Kodi Tsh 220, 000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali roony Tsh 220, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
0627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊