Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara korogwe
🕑 Km 1 kutoka stand ya mwendo kasi usafili bodaboda 1000 Tu mpaka hapo kwa mguu dakika 15_16
🥨Hii inafaulishwa
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master kikubwa
🔹Sebule
🔹 Jiko
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
✍️Fance amna ila usalama wa kutosha
📌Mazingira Tulivu Sana ( No uswahili hapa
🔶Kodi Tsh 200, 000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Tsh 200, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
MAWASILIANO 0656623510
WSP 0752436347