Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara mwisho
🕑 Km 2 kutoka stand ya mwendo kasi usafili bajaji 700 daladala 500 boda boda 1000 mpaka getini
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹 Jiko
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fence &packing Ya gari amna
🔶Kodi Tsh 250, 000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Tsh 250, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
O627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊