Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







(250,000X3)KIMARA STOPOVER DK 10 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
𝗜𝗡𝗔𝗣𝗔𝗡𝗚𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 (𝟮𝟱𝟬𝗸 𝗧𝘀𝗵𝘀): Ni apartment ya chumba kimoja cha kulala 'MASTER BEDROOM, Sebule na Jiko...Ipo ndani ya fensi parking space kubwa na inajitegemea umeme na maji ya DAWASCO.
CHUMBA MASTER
SEBULE
JIKO LENYE MAKABATI
𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗢: KIMARA STOP OVER Upande wa kushoto kama Unatoka Ubungo..
𝗕𝗘𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘: Laki mbili na elfu hamsini tu (250,000/= Tshs) × Miezi 3 + Mwezi mmoja malipo ya Dalali
𝗦𝘂𝗿𝘃𝗲𝘆 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 kupelekwa kuona nyumba ni Tshs 15,000/=
What saapp number ⬅️0689-547258