Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara Korogwe , Dar es Salaam
🕛Dakika 15 _17 Kutembea toka Kituo Cha Mwendokasi, Boda Boda 1000
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja, Master
🔹Sebule Kubwa
🔹Jiko Kubwa Zuri
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow 🔹ndani
🔹Fence & Car Parking
🔹Pana mlinzi Wakampuni 24/7 hrs
🔶Kodi Tsh 250,000/=x6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Peter Tsh 250,000/=
🔶Service Charge Tsh 15,000/-
📌Fance amna ila usalama wa kutosha
#Piga_Simu👇
0688 067 289 📞
0714 418 005 WhatsApp