Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


Apartment Classic For Rent ✨️
Location: KIMARA KOROGWE
Kodi 150,000 × 4/5/6
Jiko Zuri
Chumba Kimoja Kikubwa Master
Inajitegeme UMEME Na MAJI
Maji Yanaflow Jikoni Na Chooni 24HRS
Ndani Ya Fence Ya Waya
Eneo Maalumu la Kupark
#Umbali wa 1 .5Km, usafiri upo wa bajaji Tsh 700/= au bodaboda Tsh 1,000/=, ukishuka kwenye bajaji unaiona nyumba
Service Charge 15,000
#Malipo ya Dalali Peter 150,000
0688 067 289 📞
0714 418 005 WhatsApp