Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐น๐ฟAPARTMENT #INAPANGISHWA
IMESHUKA BEI KUTOKA 150K MPAKA 130K
๐kimara Mwisho
๐Dakika 15 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi Boda boda 1000 Tu hii nyumba unaweza pitia kimara korogwe pia
#SIFAZAKE
๐นChumba kimoja master kikubwa
๐นSebule Kubwa
๐นSehemu ya kupikia
๐นUmeme Sub-Meter Yake
๐นFence amna Ila mazingira mazuri usalama wa kutosha
๐นZipo 3 Hapa, Moja hii Iko wazi
๐ธKodi Tsh 130,000/-x5,6(Miezi sita )
๐ธMalipo ya Dalali Tsh 130,000/=
๐ธService Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu๐
#. &Whatsapp
0753 989554
0773700963
====