Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Bucha
🕑Dakika 8-10, kutoka stand ya mwendo kasi kwa mguu
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko la nje
🔹Umeme LUKU wanashare 2 kila mmoja ana submiter yake ya umeme ,
🔹 Maji yanaflow ndani 24/7 hrs
🔹Fenced Car Parking kubwa
📌 Hii ipo wazi kabisa
🔶Kodi Tsh 150, 000/=×, 6 (Miezi sita )
🔶Malipo ya Dalali Tsh 150, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
0627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊