Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿#APARTMENT #INAPANGISHWA
HAYA IMESHUKA BEI 250K _220K MIEZI 6 NJOO LIPA
📍Kimara korogwe
🕓Umbali wa Kutoka stand ya mwendo Mwendokasi.Dakika 15 kwa mguu usafili bajaji 500 bodaboda 1000 Tu mpaka getini
#SIFAZAKE
🔸Chumba Kimoja master
🔸Sebule
🔸Jiko la nje
🔸Lisave tank
🔸Umeme & Maji #Inajitegemea
🔸Fence & Parking Kubwa
👉Zipo apartments 4 kwenye Compound moja kati izo ipo wazi
🔹Kodi Tsh 220,000/=× 6(Sita)
🔹Malipo ya Dalali Tsh220,000/=
🔹Service Charge Tsh 15, 000/=
Piga_simu
0712528820
0685221354
# 📞. &Whatsapp
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😁