Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


Apartment Inapangishwa
Mahali : Mbezi Beach (Almas Street) , Dar-Es-Salaam ,Tanzania
Ina :-
🔸️Chumba Kimoja Cha Kulala
🔸️ Sebule
🔸️ Jiko lenye #makabati
🔸️ Choo
🔸️ Parking Space
🔶full ac
🔸️ Inajitegemea Kwenye Umeme na Maji
BEI : 600,000 Tsh Kwa Mwezi
Call 0743688011