Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk2
Nyumba ina chumba kimoja cha KULALA
Master bedroom
Sebule
Umeme wa luku
Maji yana flow ndani
Full tilles & gypsum
Usalama wakutosha
Kodi 180,000/= kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6
Kwa maelezo zaidi piga :--
0712528820
0685221354
Wote mnakalibishwa
Mr.