Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







(500,000X6)KIMARA TEMBONI DK 5 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
APARTMENT INAPANGISHWA IPO KIMARA MWISHO UMBALI WA DK 5 KUTOKA MOROGORO ROAD.
ZIPO APARTMENTS MBILI KWENYE FENSI MOJA NA HII MOJA NDIO INAPANGISHWA INAJITEGEMEA UMEME PAMOJA NA MAJI DAWASA YAPO 24HRS.
Ina vyumba 3vitatu vya
kulala kimoja master
Makabati vyumbani
Sebule kubwa
Jiko na stoo
Public toilet
Tails
Gypsum
Madirisha shata Mazuri
Umeme Luku inajitegemea
Maji Dawasa yanaflow
Ndani ya fensi Parking space kubwa.
-----
Kodi ni laki 500,000 /=
Kwa mwezi.
Malipo miezi sita na Malipo ya dalali mwezi mmoja pindi ulipiapo nyumba.
Kuona nyumba elfu 15,000 /=
CONTACT US:-
0716223412
0683597453