Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿# APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe
⏰Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi dakika 1 kwa mguu haina haja ya kupanda bodaboda
#SIFAZAKE
🔹Vyumba Vitatu , vyakulala
🔹Sebule kubwa
🔹Jiko
🔹Public Toilet ya ndani
🔹Umeme & Maji #Inajitegemea
🔹Fenced & parking Car kubwa
❌Haina master
👉Zipo 3 Tu kwenye fance moja na hii moja ipo wazi kwa kuhamia
🔸Kodi Tsh 350, 000/=x6(Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali Tsh 350,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
O627977383
&Whatsapp
#Follow usWhatsapp