Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Buza, Dar Es Salaam


NYUMBA (APARTMENTS 5)PAMOJA,TSHS.150 MILIONI,BUZA KINYANTILA/KIYOMBO.
Hizi ni nyumba nzuri zilizopo ndani ya Fensi na kila moja inajitegemea.
Nyumba mojawapo ni kubwa na ina vyumba 3.
Zilizobaki(4) kila moja ina vyumba 2 vya kulala.
Kila nyumba Ina Masta moja,Sebule,
Choo cha Famikia na Jiko.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
NYUMBA ZOTE ZIN WAPANGAJI.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mpg


















