Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


Apartment Mpya Inapangishwa
Mahali: Kimara Korogwe
Bei: 600,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Km1 Kutoka Mwendokasi, Bajaji 700 Pikipiki 1000, Barabara Ya Zege
☑️Vyumba 2, Kimoja Ni Master
☑️Sebule Jiko Na Choo
☑️Fensi & Parking Ya Kutosha
☑️Umeme Na Maji Mita Yako
☑️Full Sc & Heater
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Inakuwa Tayari Mwisho Wa Mwezi Huu (2) Kuona Na Kulipia Ni Ruksa
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz