Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ#NEW APARTMENT #INAPANGISHWA
๐Kimara korgwe
๐Km 1 Kutoka stand ya mwendo kasi usafili bajaji 500 ukishuka dakika 5 bodaboda 1000 Tu mpaka getini njia ni rafiki kwa gari zote
#SIFAZAKE
๐นVyumba Viwili, Kimoja Master
๐นSebule kubwa
๐นJiko & Danning
๐นPublic Toilet
๐นUmeme & Maji #Inajitegemea
๐นFenced Car Parking & parving brock
๐Zipo 3 Hapa, na zinakuwa zimekamilika ndani ya siku 7 ukilipia nyumba ni mpya mafundi wapo kazini bado kuwekwa fance ,parving brocks Rersve Water Tank Yake maongezi kidogo kuhusu bei yapo๐
๐ธKodi Tsh 500, 000/=x6(Miezi Sita)
๐ธMalipo ya Dalali Tsh 500,000/=
๐ธService Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu๐
O627977383
&Whatsapp
#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐