Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







(400,000X6)KIMARA KOROGWE DK 2 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD 
➖➖➖➖➖
🚨🔥#APARTMENT  #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Korogwe 
🕑.Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 2 kwa mguu kalibu na barabara sana
#SIFAZAKE
🔸  Vyumba Viwili, kimoja Master
🔸Sebule
🔸Jiko 
🔸Public Toilet ya ndani 
🔸Umeme Luku Yake
🔸Maji meter yake na yanaflow ndani
🔸Fenced & Parking mazingira mazuri  Parking Kubwa
🔹Kodi Tsh 400, 000× miezi ,6/=
🔹Malipo ya Dalali Tsh 400, 000/=
🔹Service Charge. Tsh 15, 000/=
📌 Mtu mmoja mbele akwepeki 
______________
#Piga_simu 👇
0716223412
0618976024




















