Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







(400,000X6)KIMARA SUKA 1KM KUTOKA MOROGORO ROAD, BODA ELF MOJA, NJIA NZURI
➖➖➖➖➖➖➖➖
✔️VYUMBA VIWILI
✔️KIMOJA MASTER
✔️ SEBULE
✔️JIKO
✔️CHOO CHA PUBLIC NDANI
✔️NDANI YA FENCE
===
Bei:400,000 Kwa mwezi × 6
pesa ya kulinda nyumba 200000
➖➖➖➖➖➖➖➖
Umbali dakika 12 Kwa mguu toka kituoni
===
Apartment ya juu ndoitakuwa wazi, inajitegemea umeme na maji parking na fence ya uhakika
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
=====
Contact:
0716223412
0683597453