Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍 Kimara Baruti
🕔Umbali wa 1km Moja Kutoka Mwendokasi , Bajaji 500 Mpaka Hapo, Pia unaweza Tembea ni Dakika 15 tu
#SIFAZAKE
💧Vyumba viwili, Kimoja Master
💧Sebule
💧Jiko
💧Public Toilet ndani
💧Umeme LUKU yake & Maji yanatoka ndani
💧Fenced Car Parking Kubwa
👉Ya juu Hapa INAPANGISHWA
♦️Kodi Tsh 350 ,000/=×6(Miezi Sita)
♦️Malipo ya Dalali Tsh 350,000/=
♦️Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
,
#0688573777. 📞&Whatsapp
,
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊