Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
.
Apartment zinapangishwa Mbezi Luguruni
Zina vyumba viwili vya kulala
Sebule
Jiko
Nyumba za kisasa mno
Umbali wa 1km toka Morogoro road
Kodi 350,000/= Tzs kwa mwezi kila nyumba
Viewing fee 20,000/= Tzs
Agency fee 350,000/= Tzs
Piga: 0769138053