Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam







:
๐ผ๐ฅ๐๐ง๐ฉ๐ข๐๐ฃ๐ฉ ๐๐ฏ๐ช๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐๐ช๐ฅ๐๐ฃ๐๐
#๐๐ค๐๐๐ฉ๐๐ค๐ฃ: UBUNGO MAKOKA KWA MKUWA
Unaweza Ukapitia Korogwe Usafiri Bajaj 500 Barabara ni LAMI
Unaweza Ukapitia External Usafiri Bajaj 500 Barabara Mpya
Pia Daladala za Kariakoo Mnazi Mmoja Zipo
#๐๐๐๐_๐๐๐ ๐
============
โข Sebule Kubwa ya kutosha
โข Vyumba viwili Kimoja Master
โข Jiko Kubwa la kutosha
โข Ina Choo Kizuri Ndani
Apartment zipo Kwenye Fensi Parking ipo.
Kila Apartment Umeme luku Inajitegemea na Maji dawasa yanaflow ndani Chooni na Jikoni.
#๐๐ค๐๐_๐ ๐ฌ๐_๐๐ฌ๐๐ฏ๐_๐ฃ๐ Tsh. 350,000/- Malipo Miezi 6
#๐ผ๐ฃ๐๐๐ก๐๐ฏ๐ค
Survey Charge ni 15,000 tu Utaonyeshwa Nyumba zote unazohitaji Zilizopo na Malipo ya Dalali.
N.B NYUMBA HII ITAKUWA WAZI KUANZIA TAREHE 01.08.2025 KUONA NA KULIPIA RUKSA KABISA
Contact
0713661530_0783661530