Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam







Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE
NYUMBA INA VYUMBA VIWILI VYA KULALA
Sebule kubwa
Jiko kubwa
Public toilet
Luku yako & Maji yana flow
Full tilles & gypsum
Iko kwenye fenci ila hailazi gali
Usalama wakutosha
Kodi 250,000/= kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 15,000 kuona nyumba
MAWASILIANO 0656623510
WSP 0752436347